Ndondo Cup yaanza kurindima viwanja mbalimbali Dar es Salaam

#IeleweMitaa. Ni msimu mwingine wa michuano ya kitaa, Ndondo Cup imefunguliwa rasmi leo tarehe 08/07/2024, katika viwanj vya kinesi, jijini Dar es Salaam, mgeni rasmi akiwa ni mwenyekiti wa Chama cha mpira wa miguu Tanzania (TFF), Bw. Wales Karia.Si ya kukosa. Ijulishe kitaa

Ndondo Admin

Ndondo Nup Mwanza

George Rapemo

Ndondo Cup Mbeya

George Rapemo

TOKA NDONDO HADI UEFA CHAMPIONS LEAGUE

George Rapemo

IBRAHIM KIPINDA: DAKIKA 15 ZILIZOVYOMPA BILLIONI

George Rapemo

CRBD Kuidhamini Tena Ndondo Cup

George Rapemo

Vituko Vya Mashabiki Wa Tandika City

George Rapemo

Video